TIMU za Taifa za Tanzania chini ya miaka 17, Serengeti Boys na ile ya chini ya miaka 20, Ngorongoro Heroes, kila moja ...
KUNA mechi nne za kuchezesha karata ngumu. Ni lkesho jioni majibu yote yatapatikana. Mjadala mkubwa zaidi ukiwa kwa Yanga na ...
HADI sasa bao bora katika Ligi Kuu msimu huu kwa mujibu wa kura zilizopigwa hapa kijiweni ni lile la Seleman Rashind ‘Bwenzi’ alilopachika dhidi ya Yanga.
TETESI ambazo hapa kijiweni tulikuwa tunaziona haziwezi kuwa kweli hatimaye zimetimia nazo ni ndoa ya Stephane Aziz Ki na ...
ULE mchezo ambao Ladack Chasambi alijifunga bao ambalo lilikuwa la kusawazisha kwa Fountain Gate dhidi ya Simba ungeweza kuwa mwanzo wa maisha magumu kwa winga huyo mwenye umri wa miaka 20.
DAKIKA 40 ndiyo zitaamua. Ni fainali ya Ligi ya Kikapu Daraja la Kwanza Dar es Salaam, kati ya Polisi dhidi ya Stein Warriors ...
SHEFFIELD FC ya England inatambuliwa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) kama klabu kongwe kuliko zote duniani ambayo ...
NDIYO maisha yalivyo. Kuna wakati ukifika unajutia mambo yaliyopita. Kuna msemo wa ‘Ujana Maji ya Moto’. Haupo tu, ...
MASHABIKI wengi wa Bongo Fleva wanamkumbuka Best Naso kwa nyimbo zake kali kama Mamu wa Dar (2009) na Narudi Kijijini (2013) ...
WAKATI Ofisa Habari wa klabu ya Simba, Ahmed Ally akitamba kwamba straika wa timu hiyo, Leonel Ateba amechora tattoo ya ...
MWIMBAJI wa muziki wa Bongofleva, Madee amewatolea uvivu watu wanaosema Rayvanny amepotea kimuziki toka atoke Lebo ya WCB.
MWIMBAJI nyota wa muziki wa kizazi kipya, Ambwene Yesaya 'AY', amesema hana mpango wa kuingia kwenye siasa licha ya kuonekana yupo karibu na Wana siasa.